صلاة الامام المهدي (ع) هذه الصلاة ركعتان تقرأ في كل منهما سورة الفاتحة مرة واحدة وتكرر الآية التالية مائة مرة:
SWALAH OF IMAM MAHDI (A.T.F.S) This prayer consists of two units in each of which Surah al- Faatehah is recited once but the following Ayah (verse) is repeated one hundred times:
SWALAH YA IMAM MAHDI (A.T.F.S) Swala hii ina rakaa mbili ambazo katika kila moja Surah al-Faatehah inasomwa mara moja lakini Ayah ifuatayo inarudiwa mara mia moja:
اِيَّاكَ نَعْبُدُ وَ اِيَّاكَ نَسْتَعِيْنُ
You we worship and You we seek help
Wewe tunakuabudu na Wewe tunakuomba msaada
Instructions
ثم تقرأ سورة التوحيد مرة واحدة.
Then, Surah al-Tawheed is recited once.
Kisha, Sura ya Tawhiyd inasomwa mara moja.
Instructions
بعد الصلاة يقرأ تسبيح حضرة فاطمة الزهراء (ع) وقراءة دعاء الإمام المهدي (ع):
After the swalah recite Tasbih of Hazrat Fatima Zahra (s.a.) and recite the dua of Imam Mahdi (a.t.f.S.):
Baada ya swalah soma Tasbih ya Hadhrat Fatima Zahra (s.a.) na usome dua ya Imam Mahdi (a.t.f.S.):