مروي عن الأئمة المعصومين عليهم السلام في كتب الأدعية المعتبرة.
The Supplicatory Amulet of Imam Zayn al-'Abidin(a.s.): The following supplicatory amulet is reported from Imam Zayn al-'Abidin (a.s.) and repeated twice in the book of Muhaj al-Da'awat.
Hirizi ya Dua ya Imam Zayn al-Abidin (a.s.): Hirizi hii ya dua imepokewa kutoka kwa Imam Zayn al-Abidin (a.s.) na imerejewa mara mbili katika kitabu cha Muhaj al-Da'awat.
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمْنِ الرَّحِيْمِ
Bismi Allāhi ar-Raḥmāni ar-raḥīmi
In the Name of Allah, the All-beneficent, the All-merciful.
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
يَآ اَسْمَعَ السَّامِعِيْنَ
Yaʾā asmaʿa as-sāmiʿīna
O most Hearing of all those who can hear!
Ee Msikivu kuliko wasikilizaji wote!
يَآ أَبْصَرَ النَّاظِرِيْنَ
Yaʾā ʾabṣara an-nāẓirīna
O best Seer of all those who can see!
Ee Mwenye kuona zaidi kuliko wote wenye kuona!
يَآ أَسْرَعَ الْحَاسِبِيْنَ
Yaʾā ʾasraʿa al-ḥāsibīna
O swiftest in taking account!
Ee Mwepesi zaidi wa kufanya hesabu!
يَآ اَحكَمَ الْحَاكِمِيْنَ
Yaʾā aḥkama al-ḥākimīna
O wisest of all those who are wise!
Ee Hakimu Muadilifu zaidi kuliko mahakimu wote!
يَا خَالِقَ الْمَخْلُوْقِيْنَ
Yā khāliqa al-makhlūqīna
O Creator of all the creatures!
Ee Muumba wa viumbe vyote!
يَا رَازِقَ الْمَرْزُوْقِيْنَ
Yā rāziqa al-marzūqīna
O Sustainers of all those who are granted sustenance!
Ee Mpaji riziki wa wote wanaoruzukiwa!
يَا نَاصِرَ الْمَنْصُوْرِيْنَ
Yā nāṣira al-manṣūrīna
O grantor of victory to all those who are triumphant!
Ee Msaidizi wa wale wanaonusuriwa!
يَآ أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ
Yaʾā ʾarḥama ar-rāḥimīna
O most merciful of all those who show mercy!
Ee Mwingi wa rehema kuliko wote wenye kurehemu!
يَا دَلِيْلَ المُتَحَيِّرِينَ
Yā dalīla al-mutaḥayyirīna
O Guide of the perplexed ones!
Ee Mwongozi wa wenye kutatizika!
يَا غِيَاتَ الْمُسْتَفِيْثِيْنَ آَغِثَنِيْ
Yā ghiyāta al-mustafīthīna āghithanī
O Aid of those who pray for aid! Please, do aid me.
Ee Msaidizi wa wanaoomba msaada! Tafadhali nisaidie.
يَا مَالِكَ يَوْمِ الدِّيْنِ
Yā mālika yawmi ad-dīni
O Master of the Judgment Day!
Ee Mfalme wa Siku ya Malipo!
اِيَّاكَ نَعْبُدُ وَ اِيَّاكَ نَسْتَعِيْنُ
Iyyāka naʿbudu wa iyyāka nastaʿīnu
You do we serve and You do we beseech for help.
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
يَا صَرِيْخَ الْمَكْرُوْبِيْنَ
Yā ṣarīkha al-makrūbīna
O Succor of the aggrieved ones!
Ee Mtatuzi wa dhiki za wenye huzuni!
يَا مُجِيْبَ دَعْوَةِ الْمُضْطَرِّيْنَ
Yā mujība daʿwati al-muḍṭarrīna
O He Who responds to the prayer of the distressed ones!
Ee Unayejibu dua ya wenye shida!
اَنْتَ اللهُ رَبُّ الْعَالَمِيْنَ
Anta Allāhu rabbu al-ʿālamīna
You are Allah, the Lord of the Worlds.
Wewe ndiye Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote.
اَنْتَ اللهُ لَا اِلْهَ اِلّا اَنْتَ
Anta Allāhu lā al-ha al-ā anta
You are Allah, there is no god save You;
Wewe ndiye Mwenyezi Mungu, hapana mungu ila Wewe;
الْمَلِكُ الْحَقُّ الْمُبِيْنُ
Al-maliku al-ḥaqqu al-mubīnu
the King and the manifest Just.
Mfalme, wa Kweli, aliye Dhahiri.
الكِبْرِيَاءُ رِدَاؤُكَ
Al-kibriyāʾu ridāʾuka
Pride is Your dress.
Ukubwa na Utukufu ni vazi Lako.
اَللَّهُمَ صَلّ عَلَى مُحَمَّدِ اِلْمُصطَفِى
Allāhumma ṣall ʿalā muḥammadi al-muṣṭafiā
O Allah, send blessings to Muhammad the Chosen Prophet,
Ee Mwenyezi Mungu, mshushie rehema Muhammad Aliyeteuliwa,
وَ عَلَى عَلِيَّ اِلْمُرْتَضى
Wa ʿalā ʿaliyya al-murtaḍā
Ali the Most Pleased,
Na Ali aliyeridhiwa,
وَ فَاطِمَةَ الزَّهْرَاءِ
Wa fāṭimata az-zahrāʾi
Fatimah the Luminous Lady,
Na Fatima mwenye kung'aa,
وَ خَدِيْجَةَ الْكُبْرُى
Wa khadījata al-kubruā
Khadijah the Grand Lady,
Na Khadija mkuu,
وَ الْحَسَنِ الْمُجْتَبْى
Wa al-ḥasani al-mujtabā
al-Hasan the well-selected,
Na Hasan mteule,
وَ الْحُسَيْنِ الشَّهِيْدِ بِكَزْبَلَاءَ،
Wa al-ḥusayni ash-shahīdi bikazbalāʾa,
al-Husayn the martyred in Karbala',
Na Husayn aliyetawazwa shahidi huko Karbala,
عَلِيَّ بْنِ الْحُسَيْنِ زَيْنِ الْعَابِدِيْنَ
ʿaliyya bni al-ḥusayni zayni al-ʿābidīna
Ali ibn al-Husayn the Adornment of the Worshippers,
Ali bin Husayn, Mapambo ya Wafanyao Ibada,
وَ مُحَمَّدِ بْنِ عَلِيِّ اِلْبَاقِرِ
Wa muḥammadi bni ʿaliyyi al-bāqiri
Muhammad ibn 'Ali the Cleaver (of knowledge),
Na Muhammad bin Ali, Mpambua maarifa,
وَ جَعْفَرِ بْنِ مُحَمَّدِ اِلصَّادِقِ
Wa jaʿfari bni muḥammadi aṣ-ṣādiqi
Ja'far ibn Muhammad the Veracious,
Na Ja'far bin Muhammad, Mkweli,
وَ مُؤْسَى بْنِ جَعْفَرِ اِلْكَاظِمِ
Wa muʾsā bni jaʿfari al-kāẓimi
Musa ibn Ja'far the Suppressor (of rage),
Na Musa bin Ja'far, Mzuia hasira,
وَ عَلِيِّ بْنِ مُؤْسَى الرِّضَا
Wa ʿaliyyi bni muʾsā ar-riḍā
Ali ibn Musa the Amicable,
Na Ali bin Musa, Aliyeridhiwa,
وَ مُحَمَّدِ بْنِ عَلِيٍّ اِلتَّقِيِّ
Wa muḥammadi bni ʿaliyyin at-taqiyyi
Muhammad ibn 'Ali the Pious,
Na Muhammad bin Ali, Mchamungu,
وَ عَلِيِّ بْنِ مُحَمَّدٍ اِلنَّقِيِّ
Wa ʿaliyyi bni muḥammadin an-naqiyyi
Ali ibn Muhammad the Pure,
Na Ali bin Muhammad, Mtakasifu,
وَ الْحَسَنِ بْنِ عَلِيِّ اِلْعَسْكَرِيِّ
Wa al-ḥasani bni ʿaliyyi al-ʿaskariyyi
al-Hasan al'Askari,
Na Hasan bin Ali, Askari,
وَ الْحُجَةِ الْقَائِمِ الْمَهْدِيِّ
Wa al-ḥujati al-qāʾimi al-mahdiyyi
and the Argument (of Allah), the Raiser (of the right), the Well-guided (al-Mahdl),
Na Hoja (ya Mwenyezi Mungu), Mwenye kusimama, Aliyeongoka (al-Mahdi),
الْاِمَامِ الْمُتْتَظَرِ
Al-āmāmi al-muttaẓari
and the Awaited lmam.
Imam anayesubiriwa.
صَلَوَاتُ اللهِ عَلَيْهِمْ اَجْمَعِيْنَ
Ṣalawātu Allāhi ʿalayhim ajmaʿīna
Blessings of Allah be upon them all.
Rehema za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote.
اَللَّهُمَّ وَالِ مَنْ وَالاهُمْ
Allāhumma wāli man wālāhum
O Allah, (please do) support him who supports them,
Ee Mwenyezi Mungu, muunge mkono anayewaunga mkono,
وَ عَادٍ مَنْ عَادَاهُمْ
Wa ʿādin man ʿādāhum
be the enemy of him who antagonizes them,
Na uwe adui wa anayewafanyia uadui,
وَ انْصُرْ مَنْ نَصَرَهُمْ
Wa anṣur man naṣarahum
give victory to him who backs them,
Na mnusuru anayewanusuru,
وَ اخْذُلْ مَنْ خَذَلَهُمْ
Wa akhdhul man khadhalahum
disappoint him who disappoints them,
Na umnyime msaada anayewanyima msaada,
وَ الْعَنْ مَنْ ظَلَمَهُمْ
Wa al-ʿan man ẓalamahum
curse him who wrongs them,
Na mlaani anayewadhulumu,
وَ عَجَّل فَرَجَ الِ مُحَمَّدٍ
Wa ʿajjal faraja ali muḥammadin
make nearer the Relief of Muhammad's Household,
Na harakisha upenyo (faraja) wa Aliy Muhammad,
وَ انْصُرْ شِيْعَةَ الِ مُحَمَّدٍ
Wa anṣur shīʿata ali muḥammadin
give victory to the partisans of Muhammad's Household,
Na wanusuru wafuasi wa Aliy Muhammad,
وَ اَهْلِكْ اَعْدَاَءَ الِ مُحَمَّدٍ
Wa ahlik aʿdāʾa ali muḥammadin
annihilate the enemies of Muhammad's Household,
Na waangamize maadui wa Aliy Muhammad,
وَاززُقْنِيْ رُؤْيَةَ قَاَئِمِ الِ مُحَمَدٍ
Wāzzuqnī ruʾyata qāʾimi ali muḥamadin
grant me the honor of seeing the expected Imam from Muhammad's Household,
Na niruzuku kumwona Mwenye kusimama (al-Qa'im) katika Aliy Muhammad,